KWA WANAFUNZI WAPYA WA MUSIC PRODUCTION
Kwanza mambo ya kuzingatia katika somo hili nitahakikisha mwanafunzi anajua mambo yafuatayo kwanza ili iwe rahisi kwake kuwa producer mzuri baadaye
1. Lazima ujue kinanda angalau hata kama sio kupiga lakini ujue sauti, chords au key mbalimbali za kinanda. Kwa sababu katika program hii tunatumia zaidi piano roll yaani kinanda-kunjufu.
2. Pia lazima ujue mfululizo ya chords mbalimbali ili uweze kutengeneza mziki kwa viwango stahiki.
3. Lazima pia ujue mitindo mbalimbali na mahadhi ya aina mbalimbali ya muziki kutoka sehemu
mbalimbali za dunia. Mfano mitindo ya reggae, pop, hip-hop, ragga, dance hall, r&b, jazz, zuku,
sebene, kwaito, bolingo, rhumba, chakacha n.k. iko mitindo mingi sana hatuwezi kuitaja yote. Hivyo ukijua mitindo mingi inakusaidia wewe kuweza kufuata kanuni za mitindo hiyo
bila makosa.
4. Lazima pia ujue milio mbalimbali ya sauti za vinanda na zinatumika wakati gani na kwa mitindo ipi.
Na kabla ya kuanza kujifunza chochote tutaanza na muundo wa fl-studio 8 uelewe jinsi ilivyo na matumizi yake uyajue kwanza. Lakini jambo la muhimu hapa ni vizuri ukawa unaelewa matumizi ya komputa vizuri sana bila hivyo itakuwia vigumu hata ku-save kazi yako.
Na katika somo hili nitakufundisha aplications za komputa professionaly ili uweze kufanya kazi kwa haraka zaidi hasa unapokuwa na mteja, hutakiwi kubabaikababaika hovyo. Karibuni sana katika darasa langu na ninawatakia masomo mema.
by Remi Minja. jrcmedia.blogspot.com.
This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteKAMA UNA E-MAIL NITAKUTUMIA SETUP YAKE
Deleteasteryfashion@gmail.com
Deletenaomba unitumie setup zake mimi natumia ten sijawahi iona hiyooo
ELTON NAWEZA KUKUTUMIA KWA GHARAMA KIDOGO TU
DeleteKAMA UNA E-MAIL NITAKUTUMIA SETUP YAKE
ReplyDeleteHii app unalipia au iko free?
ReplyDeleteUNALIPIA MALIPO NI KIDOGO SANA
DeleteMnapatikana wapi maana nataka kujifuoza zaidi fl studi
DeleteTUKO MAENEO YA BUNJU TEGETA DAR
DeleteNaomba jibu tafadhali
ReplyDeleteDICKSON TUWASILIANE 0767 060 502 AU 0754 867 153
ReplyDeleteNaweza kupata demo ya beat uliyoitngeneza kwa kutumia fl studio 8
ReplyDeleteMimi naitaji kujifunza kua producer
ReplyDeletecall 0757 959 557
Deletemimi niko tayari kuja
DeleteJe Kwa Mtu Ambae Anaitaji Umfunze Ili Awe Profesionary Producer Utamsaidiaje Katika Hilo
ReplyDeletecall 0757 959 557
ReplyDeletecall 0757 959 557
ReplyDeleteNapendasana hikazi Ila Sina mwalimu Ila asante kwa kutufunza kwa mtandao🙏🙏🙏
ReplyDeleteAda sh.ngap kwa mwaka?
ReplyDeleteSh ngapi kwa mwaka kama uki taka jifunza...?
ReplyDeleteHellow mr
ReplyDeleteKIASI GANI
ReplyDeletehabri za majukumu email yangu ni jastamoo@gmail.com nahitaji mssada wenu katika kujifunza zaidi kuhusu mziki
ReplyDeletehi
ReplyDeleteKaka naomba unisaidie nataka na mim niwe professional producer sjui utanisaidiaje
ReplyDeleteNaitaji kujifunza zaidi WhatsApp 0699457268 email wizzykamoja@gmail.com
ReplyDeleteTafadhari naomba mnitumie nexus
ReplyDeleteHIwezekani
DeleteEmail yangu ni sitaisack@gmail.com
ReplyDeleteNitumie hayo masomo
ReplyDeleteNisaidieni jamani
Deleteabobakar1997m@gmail.com
ReplyDeleteNataka kujifunza utaratibu unakuaje
ReplyDeleteNaomba nitumie napenda kujifunza multiuser Byndastar@88gmail.com
ReplyDeleteabwbkrmwsy403@gmail.com
ReplyDeleteNataman kujifunza FL studio
ReplyDeleteNahitaji niwe mwanafunzi
ReplyDelete