MUSIC THEORY





Leo ninaleta chord mbili ya A na B zingine zitafuata kwa wale wanaoanza. Hii inaonyesha mishiko mbalimbali au fingering katika chords mbalimbali. Karibu.


Zijue noti za kinanda. Kumbuka sauti ikipandishwa nusu tone huwa na jina lingine mfano noti ya C ikipandishwa nusu tone huitwa C# yaani C-sharp. Lakini noti ya D ikishushwa nusu tone itaitwa Db yaani D-flat. Kwahiyo vibao vyeusi vina majina mawili kila kimoja kutegemea sauti iliyopanda au kushuka.
Do            Re         Mi           Fa          So           La           Ti
aina saba za sauti katika mpangilio wa noti za ufunguo wa C



KWA WANAFUNZI WAPYA
Kwa wanafunzi wanaoanza kujifunza Elimu ya muziki daraja la kwanza hadi la nne, topics ambazo nitafundisha ni kama ifuatavyo;-

1.   INTRODUCTION-Utangulizi
2.   MUSIC SYMBOLS-Alama za kimuziki
3.   NOTE EVALUATION-Thamani za note
4.   RHYTHIM-Mapigo
5.   NOTE ARRANGEMENT-Upangaji wa note katikaaa stave
6.   STAFF NOTATION-Elimu ya kutumia stave
7.   SCALES-Ngazi za funguo katika muziki
8.   KEY RELATIVES-Uhusiano katika funguo za miziki
9.   CHORDS AND TRIADS-Kord na utatu wake
10. CHORDS PROGRESSION-Mfululizo wa kord
11.  INTERVALS-Mianya
12.  CADENCE-Kadensi
13.  TRANSPOSITION-Kuhamisha ufunguo
14.  MODULATION-Kubadili ufunguo ndani ya funguo moja
15.  NOTE WRITING-Uandishi wa note
16.  MUSIC STRUCTURE-Muundo wa muziki
17.  SOLFA NOTATION-Elimu ya solfa
18.  MUSICOLOGY (ADVANCED TOPICS)-Sayansi ya muziki

Nakutakia mafanikio mema katika darasa hili. Nimekuandalia masomo kulingana na mazingira ya muzic wa sasa. Hivyo nina amini utafurahia kujifunza elimu hii kwa mfumo mpya kabisa niliobuni utakaokuwezesha kuelewa haraka na kufikia kiwango kikubwa sana cha muziki. Asante, tuwe sote.

MAFUNZO YA MUZIKI DARAJA I-IV (GRADE I-IV)
JRC MEDIA GROUP inatoa mafunzo ya muziki nadharia na vitendo. (theory of music and practical)

NADHARIA
Mwanafunzi atajifunza elimu ya kusoma na kuandika kwa ya stafu(staff notation)

VITENDO
Mwanafunzi atajifunzza elimu ya kupiga kinanda.


SIFA ZA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA MUZIKI
  • Mwombaji awe amehitimu elimu ya msingi.
KWANINI TUSOME MUZIKI
  • Ili kukuza vipaji tulivyonavyo kitaaluma
  • Kuwa na taaluma ya muziki inayotambulika kitaifa na kimataifa.
  • Taifa liwe na wataalam wa muziki ambao watarithisha taaluma ya muziki kwa vizazi vijavyo
  • Kumudu kusoma, kuandika na kupiga muziki kitaalam ili kuachana na tabia iliyozoeleka ya kupiga muziki kwa kubahatisha.
  • Kupata  ajira
                                                WOTE MNAKARIBISHWA
Wasiliana na:
  1. jrcmedianetworking@gmail.com
  2. Cell-0757 959 557
                                                          

61 comments:

  1. Natamani kujua zaidi muziki hasa upigaji wa kinanda. Nimepata mazowea ya kuimba na kufundisha Sol-Fa lakini Staff notation ni kazi ngumu kwangu. nitawezaje kufanikiwa katika hili? limwagu2@gmail.com

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mm ni mwajiliwa wa serikali Niko mkoani kagera je naweza pata msaada gani kupata elimu ya muziki

      Delete
  2. TUWASILIANE UTAPATA MSAADA KATIKA HILO

    ReplyDelete
  3. ....ndugu jambo hili ni jema, je unaonaje baadhi ya masomo ukiwa unayaweka huku mtandaoni ili na sisi tuliombali tujifunze pia

    ReplyDelete
  4. Napenda kufahamishwa mafunzo yote yanachukua muda gan

    ReplyDelete
  5. INATEGEMEANA NA KOZI UNAYOJIFUNZA

    ReplyDelete
  6. Kwa mwanafunzi anayemaliza mwaka huu akisubiri majibu ya kidato cha nne program yake itakuwaje?

    ReplyDelete
  7. Mimi nataka nijifunze uproducer na upigaji kinanda msaada wenu jamani.

    ReplyDelete
  8. Mimi nahandika vizury tatizo sauti nitole tumboni au puwani

    ReplyDelete
  9. Najipanga nikipata nafas lazima nianze haya mafunzo kwa gharama yeyote hata kama si kipaji changu😂😂

    ReplyDelete
  10. Upo mkoa gani? Mimi nahitaji kusoma mziki nipo kyela mbeya

    ReplyDelete
  11. Nina tatizo la kufata chords katika harmony naomba nisaidiwe

    ReplyDelete
  12. Nipo kyela mbeya na Niko kwenye ajira. Nahitaji sana kujua mziki, nitasaidiwaje?

    ReplyDelete
  13. Hakuna distance learning? Au kwa njia ya kuuza cd na vitabu?

    ReplyDelete
  14. Mafunzo ya kujua nota na kuzisoma yanaweza kuchukua muda gani kujifunza. Nagharama inakuwaje.

    ReplyDelete
  15. Shule hii iko wp na kama niko mbali siwezi fundishwa kupitia cm

    ReplyDelete
  16. kujifunza nota na upigaji kinanda inachukua muda gani

    ReplyDelete
  17. This comment has been removed by the author.

    ReplyDelete
  18. Ufupi wa vidole hauwezi kuwa kikwazo kwa baadhi ya mishiko??

    ReplyDelete
  19. Wekeni online training,,,, hayo masomo ili kila mmoja asome kwa muda wake,,, mfano YouTube

    ReplyDelete
  20. nataka nijifunze mziki,walimu wanapatikana wapi?

    ReplyDelete
  21. Asante.... Vyuo Hivyo Vina patikana mikoa ya wapi?
    Mm niko mkoani kigoma

    ReplyDelete
  22. Je mafunzo kwa njia ya mtandao kwa walio mikoani mnafanya?

    ReplyDelete
  23. Naweza pata kitabu kwa nadhalia zaidi

    ReplyDelete
  24. Hakuna mafunzo ya Muziki ambayo nitasoma online?

    ReplyDelete
  25. Natamani Sana kujua funguo za kinanda au mziki kwa ujumala

    ReplyDelete
  26. Nashauri muanzishe mafunzo kwa njia ya mtandao Mana wengine tuko mikoani

    ReplyDelete
  27. Ingependeza kama masomo yenu mngeyaweka online Ili hata wale tunaotaman kujifunza music na tuko mbali tuweze kujifunza kupitia mtandao. Kuna mtu atakuwa kagera ameajiliwa akupewa likizo ni siku 28 kwà Mwaka mzima, anawezaje kuhimili mda ktk kujifunza Ili hali anataka alinde pia ajira?

    ReplyDelete
  28. Bado darasa la music lipo

    ReplyDelete
  29. Online teaching iPod?

    ReplyDelete
  30. IPO TUWASILIANE

    ReplyDelete
  31. Mnapatikana wap

    ReplyDelete
  32. Naomba kujua mnapatikan wap il nijue jinc gan ntawapat

    ReplyDelete
  33. Kwano xiwezs kusoma online

    ReplyDelete
  34. Darasa Bado lipo la muziki

    ReplyDelete
  35. Napenda sana mziki ni muimbaji wa kwaya,natamani kujifunza kinanda wawezaje kunisaidia?

    ReplyDelete
  36. Mm ni mhitimu WA kidato Cha 4 mwk2022 mwny 4 28 je naruhusiw kjiunga

    ReplyDelete
  37. johnnditi0@gmail.com

    ReplyDelete
  38. Kwa mtu aliyeko mbali hamwezi kumsaidia katika mziki

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ninaomba kitabu cha muziki.

      Delete
  39. Naomba what's up namba

    ReplyDelete
  40. Me ninangom zangu hap napataj hela kwenye music musad

    ReplyDelete
  41. Vp darasa bado lipo kwa sasa

    ReplyDelete
  42. naweza kupata notes za somo la mziki hapa nilipo

    ReplyDelete