Chord ni nini? Ni mlio wa sauti mbili au zaidi zinazosikika kwa pamoja. Ziko chord za aina nyingi na hutumika kwa matumizi yenye mpangilio maalum mfano chord inayoitwa Diminished yenyewe hu-resolve katika tonic na mara nyingi hutumiwa pia kama passing chord
No comments:
Post a Comment