Monday, 1 July 2019

AUTO TUNE INATUMIKAJE

AUTOTUNE KAZI YAKE NI NINI?
Hii inatumika katika vocal kubadilisha tone ya sauti ya mwimbaji inakuwa laini na ya kuvutia lakini husaidia kubalance pitch ya sauti iliyo nje ya key ubaya wake kama mtu hajui kuimba anaimba flat itaharibu sana vocal kwa wasiojua kuimba inawasadia pia

No comments:

Post a Comment