Asante Mustapha Altered passing chord hutumika tofauti na dim7 ambayo hutumika nusu tone kwenda juu mfano Db dim7
ni passing chord kwenda Dm7 lakini Altered passing chord yenyewe huwa nusu tone zaidi ya chord husika na kanuni yake ni kupandisha nusu tone/ku-sharp note ya tano na ya tisa ambapo hiutwa #9#5 mfano C7 noti ya tisa ni D na ya tano ni G kwa hiyo itakuwa C+E+G#+Bb+D# hii ni C#9#5 Altered
No comments:
Post a Comment