MAJOR PENTANTONIC PRINCIPLE
Asante Elias kamwene. Kanuni ya msingi ni kuwa katika ngazi kuu ya pentatonic/Pentatonic major scale ni kwamba hakuna noti ya IV yaani (fa) na noti ya VII yaani (ti) hivyo inakuwa
Do, re, mi, so, la, na kuna noti tano tu ndiyo maana inaitwa pentatonic yaani neno "penta" ina maaana "tano"
No comments:
Post a Comment