Thursday, 22 August 2019

NI MAMBO GANI NIZINGATIE ILI NIWE PRODUCER MZURI?


https://www.youtube.com/watch?v=3l3RMne6c2o

2. Jitahidi kuwa mtu mwaminifu na kuwajali watu kila wakati
3. Uwe na ujuzi wa kuwajenga wasanii waweze kukuamini
4. Uwe mbunifu katika kutunga mistari na kuimba ili wasanii wakuamini zaidi
5. Jenga mazingira ya kujali kazi ya msanii iwe nzuri na siyo kupata pesa tu
6. Uwe tayari kufanya kazi kwa bidii usiku na mchana bila kujali kupoteza usingizi wako
7. Wakati mwingine uwe tayari kujitolea kumbeba msanii endapo umegundua kuwa anakipaji
8. Uwe mtu wa malengo usiridhike na kiwango ulicho nacho tamani kufika mbali zaidi
9. Jitahidi uweze kujua kucheza ala za muziki mfano gitaa, kinanda, trumpet n.k maana itakupa ujuzi zaidi wa kuboresha kazi zako
10. Tafuta ladha yako ushangaze ulimwengu acha kuigiliza ladha za wengine kuwa na "touch" yako ikutambulishe kimataifa.
CIAO

No comments:

Post a Comment